Mshambuliaji Julian Draxler 
ambaye alikuwa akifukuziwa na klabu ya Arsenal yupo njiani kujiunga na 
mabingwa wa Ufaransa PSG. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujerumani 
ameshakubali mkataba wa miaka minne kukipiga PSG ingawa klabu yake ya 
Wolfsburg imesema kuwa mchezaji wake huyo hataondoka bila ya paundi 
milioni 34. 
Julian Draxler ana miaka 23 na amekuwa akiwindwa na Arsenal kwenye kila dirisha la usajili linapowadia.
Julian Draxler ana miaka 23 na amekuwa akiwindwa na Arsenal kwenye kila dirisha la usajili linapowadia.