Friday 6 October 2017

NEW: MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (UDSM) 2017/2018

  Image result for UDSM
 Chuo kikuu cha Dar es salaam kimetoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo hicho moja kwa moja yaani majina haya hayajachaguliwa zaidi ya chuo kimoja. Kulingana na wavuti ya chuo kikuu cha Dar es salaam wanafunzi hao wa mwaka wa kwanza wanatakiwa kuanza kuripoti chuo kuchukua admission letter pamoja na kuanza wiki ya utambulisho tarehe 28/10/2017.
MAJINA HAYA NI YA WANAFUNZI WA MLIMANI CAMPUS,BONYEZA HAPA KUYAONA

No comments:

Post a Comment