Tuesday 16 August 2016

CHELSEA YAILAZA WEST HAM 2-1

Image result for chelsea vs west ham
Chelsea imeanza vyema harakati zake za ligi kuu kwa kuifunga West Ham mabao 2-1 katika mechi iliochezewa uwanja wa Stamford Bridge,.
Eden Hazard ndiye aliyeanza kufungua bahati ya Chealsea baada ya kufunga mapema kipindi cha pili huku naye James Collins akisawazisha wakati mechi ikisalia na dakika 13.
Japo ilionekana kwamba mchezo utaishia kuwa sare ya 1-1 lakini Diego Costa alizamisha ndoto ya West Ham alipopachika wavuni bao la pili dakika ya 89.

No comments:

Post a Comment