Arsenal haijashinda taji la ligi kuu ya Uingereza tangu mwaka 2004 jambo ambalo limechochea uhasama dhidi ya Wenger haswa kutoka kwa mashabiki wa klabu hiyo. Awali wenger alikuwa amehusishwa na wadhfa wa kocha wa timu ya Uingereza lakini Sam Allardyce akachaguliwa kuchukua nafasi ya Roy Hodgson.
Thursday, 11 August 2016
WENGER:MATOKEO MSIMU HUU,NDIO HATMA YANGU ARSENAL
Arsenal haijashinda taji la ligi kuu ya Uingereza tangu mwaka 2004 jambo ambalo limechochea uhasama dhidi ya Wenger haswa kutoka kwa mashabiki wa klabu hiyo. Awali wenger alikuwa amehusishwa na wadhfa wa kocha wa timu ya Uingereza lakini Sam Allardyce akachaguliwa kuchukua nafasi ya Roy Hodgson.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment