Friday 5 August 2016

MWISHO WA KUFANYA APPLICATION KWA KOZI ZA CHETI NA DIPLOMA KWA AWAMU YA PILI(NACTE)


Image result for NACTEkwa mujibu wa tangazo lililotolewa na baraza la taifa la elimu ya ufundi tarehe 22/07/2016,baraza lilifungua mfumo wa udahili wa pamoja (CAS) katika awamu ya pili na kufungwa rasmi tarehe 5/08/2016.RASIFA TANZANIA inapenda kuwakumbusha wale wote ambao hawajafanya maombi,kukamilisha kabla mfumo haujafungwa rasmi leo usiku.

No comments:

Post a Comment