Saturday 6 August 2016

JOSE MOURINHO:WENGER NA KLOPP WAMEKOSA ADABU

Image result for morinho'Kuna vitu ambavyo nikifanya havina maadili,lakini wengine wakifanya ni jambo la kawaida'',alisema Mourinho.
Mkufunzi huyo wa United ameongezea kuwa atamsajili mchezaji mzuri wa kiungo cha kati katika siku chache zijazo na Pogba ni muhimu.Image result for klopp''Kwa sasa tuna wachezaji 22,alisema.Tutakuwa na 23.Ni mchezaji wa Juve hadi pale atakapokuwa rasmi nje''.Soko la uhamisho linafungwa tarehe 31 mwezi Agosti
Image result for wenger''Tunajaribu kila tuwezalo kufunga soko letu la ununuzi kwa haraka iwezekanavyo''.

No comments:

Post a Comment