WELCOME TO THE BEST BLOG TO STREAMLINE DIFFERENT INFORMATION AND ARTICLES
Saturday, 6 August 2016
PICHA:SHEREHE ZA UFUNGUZI WA MASHINDANO YA OLYMPIC NCHINI BRAZIL
Takribani mataifa 200 yanashiriki katika mashindano haya ambayo
yanafunguliwa leo rasmi katika uwanja wa Maricanna uliopo Brazil ambapo
ndipo mashindano haya yanapofanyika.Sherehe hizo zimeanza kwa kurushwa
mafataki huku washiriki katika mashindano hayo na mashabiki wakiendelea
kumiminika katika uwanja huo.
No comments:
Post a Comment