
Wafanyikazi 14 wa China walijeruhiwa wakati wa shambulio hilo katika eneo la Narok, takriban kikomita 200 kusini magharibi mwa mji wa Nairobi.
Washambuliaji hao walidaiwa kulalamikia kampuni ya kujenga barabara na madaraja ya China kwa kutowapatia ajira za ujenzi wa reli hiyo.

Kuna Takriban raia 4000 wa China wanaofanya kazi nchini Kenya hususan katika viwanda vya ujenzi pamoja na biashara za kuuza vifaa vya kielektroniki.
No comments:
Post a Comment