Tuesday 16 August 2016

YANNICK BOLASIE ASAJILIWA EVERTON

Image result for yannick bolasieImage result for yannick bolasieEverton imemsajili mchezaji wa kimataifa Yannick Bolasie raia wa Dr Congo anayechezea timu ya Crystal Palace kwa gharama ya paund milioni 25, kwa mkataba wa miaka 5.
Bolasie, mwenye umri wa miaka 27, alitumia misimu minne akiwa na timu ya Palace baada ya kujiunga na timu ya Bristol City ya mjini London mwaka 2012.
Aidha mshambuliaji huyo raia wa Congo DR amesema kuwa yeye kwenda Everton siyo kwamba kazi imekwisha, anatakiwa kujituma kwa bidii zaidi.
Bolasie alicheza mechi 143 akiwa Palace na alifanikiwa kufunga magoli 13.

No comments:

Post a Comment