Wednesday 3 August 2016

FURSA ZA MASOMO NCHINI CANADA KWA MWAKA 2017

Serikali ya Jamhuri wa Tanzania kupitia ubalozi wa Tanzania nchini Canada imepata mwaliko wa fursa za masomo ambazo ziko wazi kwa waombaji watakaokidhi vigezo,na ambao ni raia wa nchi za afrika kusini mwa jangwa la sahara (sub-saharani africa).
http://www.tcu.go.tz/images/documents/FURSA_ZA_MASOMO_CANADA.pdf

No comments:

Post a Comment